''Badilisha Maisha yako kwa kumpokea Yesu Kristo kuwa Mwokozi wa Maisha Yako.''

HUDUMA

---------------------------------------------------------------------------------------------------------

Katika kanisa letu tuna huduma mbalimbali zitolewazo.
Huduma hizo ni pamoja na injili vijijini, kutembelea wajane na wasio jiweza mahospitalini n.k

Pia tunainua makanisa machanga  kwa kuhakikisha yanakuwa na kusimama imara.

Tunazo kwaya mbili nazo ni Imani kwaya pamoja na Penuel singers.
Zote hizi  zinafanya huduma mbalimbali hapa kanisani ikiwemo kushuhudia.

No comments:

Post a Comment