''Badilisha Maisha yako kwa kumpokea Yesu Kristo kuwa Mwokozi wa Maisha Yako.''

Sunday, June 9, 2019

KUJAZWA ROHO MTAKATIFU

Mhubiri: Mch. Kiongozi Abdiel M. Mhini
Neno: Matendo 1:1-9

Bwana Yesu aliwaagiza wanafunzi wake kwamba wasitoke mpaka watakapo pokea Nguvu kutoka juu, Yesu anakutaka usitoke mpaka akuvike nguvu kutoka mbinguni, upate nguvu ya Roho Mtakatifu. Wapo watu wamemtafsri Roho Mtakatifu  vibaya wanasema alikuwa kipindi cha huko nyuma tu lakini huo ni uongo, Roho Mtakatifu hata sasa yupo! kipawa hiki kipo kwa ajili yako wewe, pia alikuwepo na yupo hata leo. Ili aingie ndani mwako nil lazima uwe na kiu ya kumpata Roho Mtakatifu.

No comments:

Post a Comment