''Badilisha Maisha yako kwa kumpokea Yesu Kristo kuwa Mwokozi wa Maisha Yako.''

Thursday, February 20, 2025

MAKE SURE YOU ARE PRAYING EVERYDAY

Praying and reading the Word of God are very important things in the life of a Christian.

Look at the things that can happen to you, when you stop praying and reading the word of God in your life.

First, you will lack God's protection. The Bible says that God protects those who trust in Him. Praying before you go to bed and when you wake up is a way to allow God to take care of you because you cannot protect or take care of yourself. 



When you fail to read the word and pray, you may be in great danger of lacking the divine protection within you. The scripture tells us from the book of Psalm 91 verse four. He will cover you with his feathers, and under his wings you will find refuge; his faithfulness is a shield and buckler. 

Secondly, you will lack Peace and Tranquility. Praying and reading the word of God brings peace and tranquility to a person's heart. When you sleep surrendering yourself to God, you know that you are in safe hands. If you do not pray, you can lose peace and tranquility within yourself. 

The Scriptures tell us from the book of Philippians four, verses six to seven. Do not be anxious about anything; but in everything by prayer and petition, with thanksgiving, let your requests be made known to God. And the peace of God, which surpasses all understanding, will guard your hearts and minds through Christ Jesus. 

Third, you will miss the opportunity to thank God in your life. Before you go to bed, it is a good time to thank God for all the things He has done for you throughout the day. If you do not get a chance to read the word and pray, you miss the opportunity to show your gratitude before God. The Bible says in everything give thanks; for this is God's will for you in Christ Jesus. First Thessalonians five and eighteen.




Another thing you will miss is being close to God. Praying and reading the Word is a great way to build a relationship with God. If you don’t pray or read the Word, you are missing out on the opportunity to grow in faith and know God better. Draw close to God, and he will draw close to you. Cleanse your hands, you sinners, and purify your hearts, you double-minded. James chapter four verse eight.

Finally, you will lack divine guidance. God usually speaks to us through His word and prayer. When you pray and read the word of God, you allow God to guide you and give you direction in your life. If you do not, you lack guidance from God and thus lead yourself or allow the devil to lead you. Realize that a man’s steps are always strengthened by the LORD, and He loves his way. Though he stumbles, he will not fall to the ground, the LORD holds him by the hand and supports him. Psalms thirty-seven, twenty-three to twenty-four.

My beloved friend of God, do not try to let a day pass without praying or reading the Word of God. Praying and reading the Word of God are very important things for every Christian. They are things that go together, they are not separate. Do not neglect the importance of praying and meditating on the Word of God in your life every day. God bless you greatly.



----------------------------------------------------------------------


HOLYNESS

Preacher: Rev. Leader Abdiel M. Mhini 
Scriptures: 1Peter 1:13-24, Psalm 1:1-6, Hebrews 12:14 1Peter 1:14-16 
"As obedient children, do not be conformed to the former desires of your ignorance; but as He who called you is holy, so be holy yourselves in all your conduct; for it is written, You shall be holy, for I am holy." 

Holiness is to leave the world and serve your God, verse 15, God calls you to be holy and to leave the former conduct, the conduct of sin. Live a life that God accepts which is of holiness. In verse 17 it says to walk with fear during the time we spend on this earth, here on earth we pass through your home is in heaven where we cannot reach without that Holiness, You must be holy. 

Examine your conduct now, when you enter and exit the conduct of your life, how is it? Return to the Lord today. Here on earth we are transient, we will not stay forever on earth, so prepare the place where you are going. In verse 23 it says you have been born again of incorruptible seed and that seed is Jesus Christ. In Psalm 1:1- A holy person is compared to a tree by the streams of water that does not wither and bears fruit in its season. If you see that you are sitting more in the councils of mockers, know that the Holy Spirit has left. When you are in Jesus, you become a new creation, the old has passed away. 

We should be holy as Jesus is holy. You try to do many things but you are not successful because you are not holy, there are people who sin very secretly, such a life will be ashamed one day because God will expose you in public because God is against sin, now why be ashamed why don't you return to God with all your heart. The evil you have cannot hide from God, repent now! Hebrews 12:14 "Pursue peace with all men, and holiness, without which no man shall see the Lord;" Psalm 24:3-5 "Who shall ascend into the hill of the Lord? Who shall stand in his holy place? He that hath clean hands and a pure heart, 

Who hath not lifted up his soul in vain, Nor sworn deceitfully: He shall receive blessing from the Lord, And righteousness from the God of his salvation." Nothing that is weak shall enter heaven in your life, your conduct must change, let us return to God with repentance, today if the Lord Jesus returns and finds you, why have you not repented, why should you enter into the loss of remaining?, The Lord Jesus is returning at any hour, will you go when he returns? 

Do you have the qualifications to go with Jesus Christ? Repent now..

---------------------------------------------------------------------------------------------

Mhubiri: Mch. Kiongozi Abdiel M. Mhini
Maandiko : 1Petro 1:13-24, Zaburi 1:1-6, Waebrania 12:14

1Petro 1:14-16 "Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu; bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu."


Utakatifu ni kuiacha dunia na kumtumikia Mungu wako, mstari wa 15, Mungu anakuita uwe mtakatifu uachane na mwenendo wa mwanzo, mwenendo wa dhambi. Ishi maisha ambayo Mungu anayakubali ambayo ni ya utakatifu. Katika Mstari wa 17 inasema tutembee kwa hofu katika wakati wa kukaa hapa duniani, hapa duniani tunapita nyumbani kwenu ni mbinguni ambapo hatuwezi fika bila huo Utakatifu, Yakupasa uwe mtakatifu.

Chunguza mwenendo wako sasa, unapoingia na kutoka mwenendo wa maisha yako upoje? Rudi kwa Bwana leo. Hapa duniani sisi ni wapitaji hatutakaa siku zote duniani, kwahiyo andaa sehemu unayoenda. Katika mstari wa 23 inasema umezaliwa mara ya pili kwa mbegu isiyoharibika na mbegu hiyo ni Yesu Kristo.

Katika Zaburi 1:1- Mtu mtakatifu amelinganishwa na mti ulio kando kandi ya vijito vya maji ambao haukauki na uzaao kwa majira yake. Ukiona unakaa zaidi kwenye mabaraza ya wenye mizaha ujue Roho Mtakatifu ameondoka. Ukiwa ndani ya Yesu, Unakuwa kiumbe kipya ya kale yamepita. Inapaswa tuwe matakatifu kama Yesu alivyo mtakatifu

Unajitaidi mambo mengi lakini hufanikiwi kwasababu ya sio mtakatifu, wako watu wanafanya dhambi kwa siri sana, maisha ya jinsi hiyo utaaibika siku moja maana Mungu atakuweka wazi adharani kwasababu Mungu yupo kinyume na dhambi, sasa kwanini uaibike kwanini usimrudie Mungu kwa moyo wote. Uovu ulionao huwezi kumficha Mungu, tubu sasa!


Waebrania 12:14 "Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;"

Zaburi 24:3-5 "Ni nani atakayepanda katika mlima wa Bwana? Ni nani atakayesimama katika patakatifu pake? Mtu aliye na mikono safi na moyo mweupe, Asiyeiinua nafsi yake kwa ubatili, Wala hakuapa kwa hila. Atapokea baraka kwa Bwana, Na haki kwa Mungu wa wokovu wake."

Hakuna chochote kinyonge kitakachingia mbinguni maisha yako mwenendo wako lazima ubadilike, hebu mrudie Mungu kwa toba, leo hii kama Bwana Yesu akirudi akakukuta  hujatubu kwanini uingie kwenye hasara ya kubaki?, Bwana Yesu anarudi saa yoyote je akirudi utaenda? Je una sifa za kwenda na Yesu Kristo? Tubu sasa..

Sunday, February 2, 2020

MKRISTO WA KWELI

Mhubiri: Mch. Kiongozi Abdiel M. Mhini
Maandiko: Matendo 5:1-11

Mkristo wa kweli ni yule anayeishi maisha matakatifu yanayompendeza Mungu na kuzingatia tunda la Roho. Ni yule anayesoma Neno la Mungu na kuliiishi, ni yule anayedumu katika kuomba.

Matendo 5:1-11
 "1 Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali, 2 akazuia kwa siri sehemu ya thamani yake, mkewe naye akijua haya, akaleta fungu moja akaliweka miguuni pa mitume. 3 Petro akasema, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu, na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja? 4 Kilipokuwa kwako, hakikuwa mali yako? Na kilipokuwa kimekwisha kuuzwa, thamani yake haikuwa katika uwezo wako? Ilikuwaje hata ukaweka neno hili moyoni mwako? Hukumwambia uongo mwanadamu, bali Mungu. 5 Anania aliposikia maneno haya akaanguka, akafa. Hofu nyingi ikawapata watu wote walioyasikia haya. 6 Vijana wakaondoka, wakamtia katika sanda, wakamchukua nje, wakamzika. 7 Hata muda wa saa tatu baadaye mkewe akaingia, naye hana habari ya hayo yaliyotokea.8 Petro akamjibu, Niambie, Mlikiuza kiwanja kwa thamani hiyo? Akasema, Ndiyo, kwa thamani hiyo. 9 Petro akamwambia, Imekuwaje hata mkapatana kumjaribu Roho wa Bwana? Angalia, miguu yao waliomzika mumeo ipo mlangoni, nao watakuchukua nje wewe nawe. 10 Mara akaanguka miguuni pake akafa; wale vijana wakaingia wakamkuta amekufa, wakamchukua nje, wakamzika pamoja na mumewe."


Anania na mke wake Safira walipanga kumdanganya Roho Mtakatifu lakini Mungu hadanganyiki, Mungu anatisha akawaua hapo hapo. Amua Leo kuwa mkristo wa Kweli, hii ni January amua kupanga kusoma Biblia kwa mpangilio kama kwa sura, amua kuwa na mpango mzuri wa maombi, amua kuongeza viwango vyako kwa kumpenda Mungu, uzembe ulioufanya mwaka jana katika kumpenda Mungu usiurudie na mwaka huu. Dumu katika uaminifu ukimpenda Mungu siku zote.

Tuesday, January 28, 2020

KIU YA KWELI ILETAYO MABADILIKO

Mhubiri: Mrs. Lucy Masembo
Maandiko: Yohana 4:1-26

Yohana 4:7-15
7 Akaja mwanamke Msamaria kuteka maji. Yesu akamwambia, Nipe maji ninywe 8 Kwa maana wanafunzi wake wamekwenda mjini kununua chakula. 9 Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia, Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwangu, nami ni mwanamke Msamaria? (Maana Wayahudi hawachangamani na Wasamaria.) 10 Yesu akajibu, akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani akuambiaye, Nipe maji ninywe, ungalimwomba yeye, naye angalikupa maji yaliyo hai. 11 Yule mwanamke akamwambia, Bwana, huna kitu cha kutekea, na kisima ni kirefu; basi umeyapata wapi hayo maji yaliyo hai? 12 Je! Wewe u mkubwa kuliko baba yetu, Yakobo, aliyetupa kisima hiki, naye mwenyewe akanywa maji yake, na wanawe pia, na wanyama wake? 13 Yesu akajibu, akamwambia, Kila anywaye maji haya ataona kiu tena; 14 walakini ye yote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele. 15 Yule mwanamke akamwambia, Bwana, unipe maji hayo, nisione kiu, wala nisije hapa kuteka.


Kiu ni shauku kubwa ya ndani ambayo mtu hawezi kutulia mpaka kile kitu kitimilike. Mwanamke Msamaria alikuwa na kiu ya kumjua Mungu zaidi na zaidi, Kiu ile ilimfanya ampokee Yesu, ilimfanya apate mabadiliko makubwa na baada ya hapo akawa kiumbe kipya, akaanza kuwa muinjilisti akaenda kuwaambia mji wote kuhusu Yesu.

Kiu au shauku ya kumjua Yesu inaleta mabadiliko. Shauku ndani mwako ya kumjua Yesu zaidi na zaidi itakuletea mabadiliko. Yesu Kristo akiingia rohoni mwako maisha yako hayawezi kubaki vile vile ni lazima yatakuwa na mabadiliko, kwa mfano utapata uwezo wa kushinda dhambi. Jawa na shauku ya kumjua Yesu zaidi na zaidi hutabaki kama ulivyo.

Kwanini sasa uwe na Kiu/ Shauku? Kwasababu
1. Kiu itakupa nguvu nyingine ya kutumika kwa ajili ya Mungu, ukikutana na nguvu ya Mungu utapata nguvu mpya ya kumtumikia. Kiu itakupa bidii ya kutumika kwajili ya Mungu.
2. Kiu italeta kutokujihurumia, ukijua Mungu aliyekuita ndani utafanya tu kazi yake.
3. Kiu itafanya kutokuogopa vizuizi  ambavyo vinaweza kutokea
4. Ukiwa na kiu hii inakupa shauku ya kumchagua Yesu kwanza, utaona Yesu kwanza na ndio mambo mengine.

Sunday, December 1, 2019

SIKU YA KUWAPONGEZA WACHUNGAJI

Mhuburi: Mr. Godfrey Zayumba
Maandiko: Warumi 10:12-15

Kuwapongeza wachungaji/ watumishi wa Mungu ni kitu cha maana sana kwasababu wanajitaabisha usiku na mchana kwa ajili yetu, wameacha vyote wamekuja kufanya kazi ya Mungu. Katika wana wa Israeli, watumishi wa Mungu walitokea kwenye kabila la Lawi, na kabila hili halikupewa eneo kama uridhi kwasababu wao maisha yao yalikuwa ni nyumbani kwa Bwana, ndivyo ilivyo hata leo, wachungaji hawafanyi kazi nyingine za kuajiriwa za kuingiza vipato, kwahiyo ni wajibu wetu kuwajali. Wachungaji wanafanya kazi kubwa sana, wewe unapata mafanikio katika kazi yako au biashara  zako ni kwasababu wachungaji wamekuombea, wachungaji wanakuombea mchana na usiku. Kuongoza kanisa lenye watu tofauti na wenye mitazamo tofauti si kazi ndogo bali ni kazi kubwa, wachungaji wanasuluhisha kesi nyingi, ni lazima tutambue kazi yao wanayoifanya na kuwapongeza.

Mambo muhimu ya kuyatambua kuhusu Mchungaji
1. Tuwatambue watumishi wa Mungu; ni lazima tutambue uwepo wao na kuuheshimu, lakini pia tutambue kazi kubwa wanayoifanya.
2. Wanatusimamia
3. Wanatuonya kwa Upendo kwasababu hawataki tuangamie wala umuache Yesu Kristo
4. Kuwastahi sana katika upendo- kumfichia aibu,tuwafichie aibu machungaji wetu, Haruni na Miriam walimsema Mussa gafla miriam akapata ukoma!
5. Kuwakumbuka, ni lazima uwakumbuke mchungaji wako kwenye maombi yako.
6. Wanatuongoza ili twende kwa usahihi
7. Wanatuambia Neno la Bwana, kila siku wanaanda chakula/Neno la Mungu ili upate malisho yaliyo bora 
8. Kuuwatii kwenye kile ambacho wanatuongoza
9. Kuwanyenyekea